Thursday, November 15, 2012

NENO LA LEO



“Kanisa la Kristo ni kama jeshi bila kujali maisha ya askari yameja taabu, shida na hatari kila upande wako maadui walio macho wakiongozwa na mkuu wa mamlaka ya giza ambae kamwe hasinzii wala hatoroki na kuacha lindo lake, Wakristo tusipokesha kwa zamu zetu huyu adui hodari anafanya mashambulizi ghafula ikiwa washiriki hatutakua hodari na wenye bidii tutashindwa na hila zake. Je, itakuaje kama nusu ya askarijeshini wakiwa wavivu na walegevu matokeo yake ni kushindwa na kutekwa au mauti”, Kutayarisha Njia, Sura ya 7, ukurasa wa 69.

No comments:

Post a Comment