Events in Pictures/ Matukio ktk Picha



UWEKWAJI WAKFU KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO ILALA

Tukio hili la kihistoria lilifanyika tarehe 1 Februari 2015 katika Kanisa la Waadventista Wasabato Ilala. Tukio hili lilihudhuriwa na mamia ya watu toka sehemu mbalimbali ndani na nje ya Tanzania. Mgeni rasmi wa siku hiyo alikuwa ni Pr. Dr. Blasious Ruguri toka Divisheni ya Mashariki na Kati ya Kanisa la Waadventista Wasabato Afrika. Tukio hili la pekee lilikuwa miongoni mwa matukio yaliyofanyika katika Sherehe za Utume ( Mission Extravaganza) zilizofanyika jijini Dar es Salaam, Tanzania.



Pr. Malekana kiongozi wa SEC akitoa utambulisho na ukaribisho.



Baadhi ya Viongozi wa Kanisa. Mchungaji wa Mtaa Pr. Shehemba, Wazee wa Kanisa na Mchungaji aliyetangulia,   Pr. A. Juma wakitambulishwa.




Baadhi ya watu waliohudhuria wakifuatilia tukio hilo.

Pr. Mwakalonge kiongozi wa STUM akizungumza machache.


Pr. Lekundayo kiongozi wa NTUC akizungumza machache

Sehemu ya umati wa watu waliopata kuhudhuria Ibada hiyo.


                   Hati ya uwekwaji wakfu ikikabidhiwa


      Mass Choir ikimtukuza Mungu kwa wimbo maalum.

Kijana mdogo wa CHAMA CHA WAVUMBUZI akiongoza msafara kutoka.



SIKU YA MAHAFALI YA DARASA LA KIONGOZI MWADVENTISTA

Wahitimu wa Darasa la Kiongozi Mwadventista

 (1)
 (2)
 (3)
1,2,3 Vikosi mbalimbali vya chama cha watafuta njia toka Heritage English Medium Primary School

Wahitimu wakiwa na Wachungaji viongozi


SIKU YA UTOAJI TUZO ZA "GLORIOUS MUSIC AWARDS"

Baadhi ya watu waliohudhuria tukio hili


                                          Mchungaji J. Dzombe akionyesha moja ya tuzo
Kikundi cha Holy Reunion wakifurahia baada ya kupata tuzo yao
Holy Reunion wakiwa na baadhi ya waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato Ilala

Peter Joseph akifurahi kupata tuzo yake

TMI 2017 ILALA

 Baadhi ya waumini na wageni waliohudhuria mkutano wa injili wa TMI 2017

Mhubiri Pr Meshack Koome toka Kenya


Mhubiri Pr Meshack Koome toka Kenya


Watoto wakiendelea na mkutano wao wa TMI ndani ya Kanisa


 Mwalimu Grace akiwa kazini


 Baadhi ya watoto waliohudhuria mkutano wa TMI


 Semina ya ujasiriamali zilitolewa kwa Idara ya Wanawake

 
Mama Rachel Mchomvu akitoa semina

 Baadhi ya wanawake wakisikiliza kwa makini


Baadhi ya wanawake wakisikiliza kwa makini

Watoto wakitoa huduma ya Shule ya Sabato

 Watoto wakitoa huduma ya Shule ya Sabato

Watoto wakiwa katika ibada

Mchungaji wa Mtaa wa Ilala, Pr E. Mshama Jr akiwaapisha wabatizwa

 Baadhi ya wabatizwa wakiapa
Pr Mshama Jr akifanya huduma ya ubatizo

Pr Mshama Jr akifanya huduma ya ubatizo   




HUDUMA KWA JAMII, HOSPITALI YA AMANA (Juni 2107)


Baadhi ya waumini wakifanya usafi katika mazingira ya hospitali


Baadhi ya waumini na mhutubu mkuu wa mutano (Pr. Koome) wakifanya usafi katika eneo la hosptali





Vifaa mbalimbali vya hospitali vilitolewa

Vitabu vya "PENDO LISILO KIFANI" viligawiwa


MAKAMBI MTAA WA ILALA 2017
 Baadhi ya waumini waliohudhuria makambi


Kwaya ya Kanisa la Waadventista wa Sabato Buguruni

Kwaya ya Kanisa la Waadventista wa Sabato Kigogo

Kwaya ya Kanisa la Waadventista wa Sabato Nguvumali kutoka Tanga

Kwaya ya Kanisa la Waadventista wa Sabato Nguvumali kutoka Tanga

 









No comments:

Post a Comment